#WillyPaul #saldidointernational #tamuwalahi
Artist : Willy Paul
Composer : Willy Paul
Audio Production : Sav beat/ Saldido international limited
Visual : Flim Giants
label : Saldido international limited
LYRICS
Eeh × 15
Katoto hodari, akikata hodari, kiuno hodari, akipanda hodari, full shangwe anajiachia .
CHORUS
Ulivo fundi nyumbani kwa bedi my lady tamu walahi tamu walahi mama tamu walahi x 2
Muondoka wako tamu walahi, ukiniguza tamu walahi na tukicheza tamu walahi tamu walahi tamu walahi .
VERSE
Eti baby anapenda, anapenda njaro za kipole pole, yaani mwendo wa kobe, kobe kobe kobe
Kasheri kanapendaga tu mayai na tu soseji, alafu mwendo wa kobe kobe kobe kobe.
Anafanya, namwaga jasho sho sho, natokwa na pepo popo shoti kama ya Ronaldo dodo iiih,
Ngozi ilivo nyooka, malaika my darling, ( lala × 9 )
PRE- CHORUS
unavonipa kwa bedi my darling naskia tu pepe, eti pepe, naskia tu pepe
CHORUS
Ulivo fundi nyumbani kwa bedi my lady tamu walahi tamu walahi mama tamu walahi x 2
Muondoka wako tamu walahi, ukiniguza tamu walahi na tukicheza tamu walahi tamu walahi tamu walahi .
VERSE 2
Mtoto anataka tucheze tu baibuda maimuna hataki pressure, ooh my lover.
Ooh baby ukiniguza wanitia haya, na unavokata chumbani mama unani maliza, aaih mama, mama, wanimada mama, wanimaliza mama, mmmh mama. Wanaokudharau, wana roho
itabidi wafunge virago warudi waliko toka. Shindwe pepo mbaya!
PRE- CHORUS
unavonipa kwa bedi my darling naskia tu pepe, eti pepe, naskia tu pepe
CHORUS
Ulivo fundi nyumbani kwa bedi my lady tamu walahi tamu walahi mama tamu walahi x 2
Muondoka wako tamu walahi, ukiniguza tamu walahi na tukicheza tamu walahi tamu walahi tamu walahi .
Muondoka wako tamu walahi, ukiniguza tamu walahi na tukicheza tamu walahi tamu walahi tamu walahi .